Mhe. Naimi Aziz, Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia akiwa na viongozi wapya wa Jumuiya ya Watanzania Ethiopia (UDUGU). Wa pili kushoto ni Dr. Naftali Kilenga ambaye amechaguliwa kuwa Mwenyekiti, na wa kwanza kulia ni Dr. Florence Temu, ambaye amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti. Wa kwanza kushoto ni Bw. E. Lubuva ambaye amechaguliwa tena kuendelea kuwa Katibu wa UDUGU.
Mhe. Balozi Naimi Aziz akiwa na Mwenyekiti Mpya Dr. Naftali Kilenga kushoto, na kulia kwake ni Bibi Josephine Marialle Ulimwengu, ambaye alikuwa Kaimu na Makumu Mwenyekiti  katika uongozi uliopita.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...