Mbunge wa jimbo la Ukonga
Eugen Mwaiposa akimkabidhi kombe la ubingwa nahodha wa timu ya Ilala Academy
Maisala Adam baada ya timu hiyo kuibuka mabingwa wa Airtel Rising Stars mkoa wa
kisoka wa Ilala juzi.
Mbunge wa jimbo la Ukonga
Eugen Mwaiposa akimkabidhi kombe la ubingwa nahodha wa timu ya Temeke All Stars
Maulid Jamal baada ya timu hiyo kuibuka mabingwa wa Airtel Rising Stars mkoa wa
kisoka wa Temeke juzi.
Mbunge wa jimbo la Ukonga
Eugen Mwaiposa akimkabidhi kombe la ubingwa nahodha wa timu ya Kinondoni
Academy Jafali Said baada ya timu hiyo kuibuka mabingwa wa Airtel Rising Stars
mkoa wa kisoka wa Kinondoni juzi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...