Mimi Salima Moshi,Mgombea wa Nafasi ya makamo wa Rais DMV,
Napenda kuwa hakikishia kuwa tutakuwa bega kwa bega,tutashirikiana kwa pamoja ili kuendeleza Jumuia yetu hapa DMV.

SITOJITOA kamwe katika dhamana mtakayonikabidhi kama ilivyotokea kwa mgombea mwenzangu tarehe 18 July alijitoa Ubalozini mbele ya viongozi na kusema anajitoa hawezi kugombea tena na kuniendorse mimi.

 Hivyo mtu akijitoa Hataki lawama ina maana kazi haiwezi Msije mkamlaumu,tumeshuhudia wagombea aina hii,hatutaki kufanya makosa.

  Nichagueni mimi,Najiamini Ni mchapa kazi,Nina uwezo wa kuongoza ni Mwadilifu na niko tayari kujitolea wakati wowote Kwa heshima na Taadhima.

Naomba Kura zenu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...