Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla amesema Serikali itatatua tatizo la muda mrefu la maji katika kijiji cha Chakwale, Wilaya ya Gairo, mkoani Morogoro wakati alipotembelea mradi wa maji kijijini Mhe. Makalla alisema tatizo la maji Chakwale tutalifanyia kazi na kuhakikisha tunalitatua, mimi na Mbunge, Shabiby tutashirikiana tulete maji katika kijiji hiki ambacho kimekua na malalamiko ya muda

 “Kumekuwa na ugumu na uzembe wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa kuleta fedha za kutekeleza miradi ya maji hapa Gairo na hili limekuwa tatizo kubwa linalochangia mradi huu kutokukamilika Naibu Waziri aliagiza ndani ya wiki mbili awe amepatikana mtaalamu wa kutafuta na kuchimba maji kijijini hapo, kwa kushirikiana na Afisa Maji wa Bonde la Wami/Ruvu, Praxeda Kalugendo kufanikisha zoezi hilo.

 Pia, ameahidi Wizara yake itatoa Sh. mil 300 ili mkandarasi aanze kutekeleza mradi huo Aidha, Mbunge wa Jimbo la Gairo, Ahmed Shabiby, alisema wamechoshwa na kero hiyo ambayo ni muda mrefu sasa tangu mradi huo umeanza kujengwa karibu miaka tisa iliyopita, na Serikali haina budi kuhakikisha tatizo hilo linafikia kikomo ili wananchi wa Chakwale wapate majisafi na salama.

Halmashauri ya Wilaya ya Gairo ina miradi miwili ya Kibedya na Chakwale na mradi wa Chakwale Mhe. Makalla alitembelea kijiji cha Chakwale kujionea utekelezaji wa mradi huo, akitekeleza agizo la Rais, Jakaya Kikwete ambaye alipokua ziarani mkoani Morogoro na kumtaka akaangalie sababu ya hapo mwishoni mwa wiki. mrefu.

mpaka leo”, aliongeza Mhe. Makalla. ifikapo katikati ya mwezi Septemba. ulianza kutekelezwa mwaka 2005 ukiwa chini ya Wilaya ya Kilosa. kusuasua kwa mradi huo.
Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla na Mbunge wa Gairo, Ahmed Shabiby wakizungumza kwa nyakati tofauti na katikati ni Mhandisi wa Maji wa Wilaya ya Kilosa, Hosea Mwingizi.
Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla akizungumza na wananchi wa Chakwale, akifuatiwa na Mbunge wa Gairo, Ahmed Shabiby na Mkurugenzi Msaidizi wa Maji Vijijini, Catherine Bamwenzaki.
Tanki la maji la mradi wa Chakwale

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...