Afisa Mkuu Ugawaji Rasmali wa Mamlaka ya Elimu
Tanzania (TEA) Mozes Nyirenda , akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani
) juu ya hafla ya kutafuta uwezo wa
Kununua Vitabu 2,500 vyenye thamani ya shilingi milioni 218, kwa ajili ya
kusaidia shule 10 msingi na Sekondari za
Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.Hafla hiyo itafanyika usiku wa Oktoba 3
mwaka huu kwenye hoteli ya serena wapili kushoto ni Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Taasisi isiyo ya Kiserikali
ya Nkwamira ,Noreen Mazalla, Mkurugenzi
Mauzo na Masoko wa Hoteli ya Serena
Seraphin Midana na Mkurugenzi wa
Seaforth General Angencis Ltd Anver Rajpar (kulia)
Mkurugenzi wa Mauzo na
Masoko wa Hoteli ya Serena Seraphin
Midana
wapili kutoka (kulia) akisistiza jambo kwa wandishi wa habari jijini Dar es
Salaam, juu ya hafla ya kutafuta
uwezo wa Kununua Vitabu 2,500 vyenye
thamani ya shilingi milioni 218, kwa ajili ya kusaidia shule 10 msingi na
Sekondari za Wilaya ya Temeke jijini Dar
es Salaam.Hafla hiyo itafanyika usiku wa Oktoba 3 mwaka huu kwenye hoteli ya
serena.
Wapili kutoka kulia ni Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Taasisi isiyo ya Kiserikali
ya Nkwamira ,Noreen Mazalla, ni Afisa
Mkuu Ugawaji Rasmaiali wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) Mozes Nyirenda
, Afisa Uhusiano wa NSSF Anna Nguo, Meneja wa Kampuni ya Dun &Bradstreet Credit Bureua
( T) LTD Adebowele Atobatele
(Kushoto) kulia ni Mkurugenzi wa Seaforth General Angencis Ltd Anver Rajpar .
Mkurugenzi wa Seaforth
General Angencis Ltd Anver Rajpar (kulia) akiongea kwa waandishi wa habari
hawapo pichani jijini Dar es Salaam juu ya hafla ya kutafuta uwezo wa Kununua Vitabu 2,500 vyenye thamani ya
shilingi milioni 218, kwa ajili ya kusaidia shule 10 msingi na Sekondari za Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.Hafla
hiyo itafanyika usiku wa Oktoba 3 mwaka huu kwenye hoteli ya serena. Wapili
kushlia ni Mkurugenzi Mauzo na Masoko wa
Hoteli ya Serena Seraphin Midana. Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa
Taasisi isiyo ya Kiserikali ya Nkwamira ,Noreen Mazalla, ni Afisa Mkuu Ugawaji Rasmaiali wa Mamlaka ya Elimu
Tanzania (TEA) Mozes Nyirenda , Afisa Uhusiano wa NSSF Anna Nguo, Meneja wa Kampuni ya Dun &Bradstreet Credit Bureua
( T) LTD Adebowele Atobatele (Kushoto)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...