Wadau wa Mafuta na Gesi kutoka nchini Tanzania wakisikiliza kwa makini maelezo ya teknolojia mpya za utafiti wa mafuta na gesi Duniani huko nchini China. Wadau hawa walihudhuria maonesho ya 7 ya kimataifa ya mafuta, gesi na bidhaa zitokanazo na rasilimali hizo yaliyofanyika katika jiji la Dongying nchini China. Maonesho kama haya hufanyika kila mwaka yakilenga kujenga uhusiano baina ya nchi nan chi na pia kubadilishana uzoefu katika sekta ndogo ya mafuta na gesi duniani.
Bw. Ibrahim Rutta, mdau kutoka Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) akipata maelezo juu ya mitambo ya kuzalisha umeme kwa kutumia gesi asilia kutoka kwa mmoja wa wanamaonesho huko nchini China. Hiyo picha hapo chini inaonesha mfano wa kiwanda cha kuzalisha umeme kwa kutumia gesi asilia kama kile kinachojengwa na Tanesco na kusambaziwa gesi asilia na TPDC pale kinyerezi.
Bw. Ibrahim Rutta, mdau kutoka Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) akipata maelezo juu ya mitambo ya kuzalisha umeme kwa kutumia gesi asilia kutoka kwa mmoja wa wanamaonesho huko nchini China. Hiyo picha hapo chini inaonesha mfano wa kiwanda cha kuzalisha umeme kwa kutumia gesi asilia kama kile kinachojengwa na Tanesco na kusambaziwa gesi asilia na TPDC pale kinyerezi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...