Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mhe. Pindi H. Chana (Mb.)(katikati) akifuatilia igizo kuhusu kuanzishwa kwa UMATI, mafanikio na changamoto za hutoaji huduma. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa UMATI Bi. Lulu Ng’wanakilala, Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Watoto Bw. Benidect Misani, Mwenyekiti wa UMATI Bibi Rose Wasira na kulia ni Makamu wa Mwenyekiti wa UMATI Bw. Charles Mngodo.
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mhe. Pindi H. Chana akiteta jambo na mmoja wa wajumbe wa Halmashauri Kuu ya UMATI Taifa ambaye alipata fursa ya kupima afya yake kama sehemu ya huduma zilizotolewa na UMATI sanjari na mkutano katika ukumbi wa Regency Park Hotel jijini Dar es salaam tarehe 30/10/2014.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...