Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala ( wa tatu kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa taasisi ya Afrika Rise ya Ubeligiji baada ya kukagua Hoteli ya Nyota tano ya Chateau Du Lac patakapo fanyika Kongamano la Biashara na Uwekezaji mwezi Aprili, 2015. Makampuni 500 kutoka Luxembourg, Ufaransa, Canada, Switzerland, Dubai, Ubeligiji, Tanzania, Morocco, DRC na Algeria yanatarajiwa kushiriki. Tanzania imekaribishwa kushiriki katika Kongamano hilo na itapewa fursa ya kutangaza fursa za biashara na uwekezaji zinazopatikana Tanzania. Kongamano hilo litafanyika jijini Genval - Ubelgiji.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...