Meneja wa Biashara na Masoko wa Benki ya First National Bank (FNB), Adam Yusuf (aliyesimama ndani ya banda) akiwaeleza wateja namna benki hiyo inavyojitahidi siku hadi kukidhi matakwa ya wateja wake, ambapo kwa sasa imeongeza matawi na huduma za ATM, katika muktadha wa retail, SME, Comercial and Corporate Banking, Visa Debit Cards, InContact Mesaging, Online and Cellphone Banking, katika maonesho ya zana za kilimo maarufu kama ‘Agri Business East Africa’ yanayoendelea hotel ya serena Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...