Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. I am just curious, Kwa nini BBC Swahili itangazwe London na sio Dar kunakotoka lugha ya Kiswahili? napenda kujua kwa anayefahamu

    ReplyDelete
  2. BBC ni kampuni ya Tanzania hadi ije itangazie Tanzania? mbona Al jazeera wanatumia English lakini hawako London wala USA kunakotoka English?

    ReplyDelete
  3. Tumia simple knowledge, kiswahili ni lugha ya 3 kuzungumzwa na watu wengi duniani pia dunia imekua kijiji ni kawaida siku hizi kumuona mchina akiuza karanga k/koo, ilo swali lako ungeuliza kipindi cha ukoloni lingekua na mantiki but kwa sasa utaonekana Racist (mbaguzi)

    ReplyDelete
  4. BBC ni shirika la wapi?! We mdau hapo juu jibu!

    ReplyDelete
  5. Vp unaweza pata live streaming yA dira yA dunia??

    ReplyDelete
  6. Kwa sababu ni shirika la habari la Uingereza lenye makao yake London,na BBC swahili ni idara tu kati ya nyigi ilizonazo...Haiwezi ikawa hapo bongo kwa wanawalipa hao watangaji wa kiswahili ni BBC sio Tanzania...lugha sio kigezo cha kuifanya itangaziwe dar..BBC ni mali ya waingereza sio mali ya waswahili.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...