SIMU.TV:  Viongozi wa CCM Mwanza wametakiwa kuhakikisha kuwa wanajenga ofisi katika ngazi zote za uongozi mkoani humo; https://youtu.be/NpTr_r90wgw
 SIMU.TV:  Tarafa ya Idodi mkoani Iringa ipo hatarini kukumbwa na mafuriko kufuatia mkondo wa maji wa mto Mapogoro kuhama; https://youtu.be/AfSbtI7MOy0
 SIMU.TV:  Mkuu wa wilaya Manyara alazimika kupiga marufuku ulaji wa nyama machinjoni kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kimeta;https://youtu.be/NKxuqyprRFQ
 SIMU.TV:  Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi jaji Lubuva amesema uchaguzi wa 2015 ulikuwa na mafanikio makubwa ikilinganishwa na miaka ya nyuma;https://youtu.be/wuSaqbH_dGo
 SIMU.TV:  Muajiri ampa kipigo mfanyakazi wa ndani na kumsababishia majeraha yaliopelekea mfanyakazi huyo kulazwa hospitali; https://youtu.be/ZV_G2Ce72o8
 SIMU.TV:  Ama kweli kufa kufaa, ucheleweshwaji wa mradi wa mabasi ya haraka Dar es salaam waleta shangwe kwa wafanyabiashara jijini; https://youtu.be/1X3qeYZVsWY
 SIMU.TV:  Askari watatu wafariki na watatu wengine kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisindikizia msafara wa viongozi kupinduka;https://youtu.be/wHZSv8SydlI
 SIMU.TV:  Shirikisho la ngumi nchini limewaomba wadau kujitokeza kusaidia mashindano ya klabu bingwa taifa yaliyoanza leo jijini Dar es Salaam;https://youtu.be/2fb9c5LOCzk
 SIMU.TV:  Waziri mkuu Mh.Kassim Majaliwa amewataka waislamu pamoja na wananchi wote kusaidiana na Rais Magufuli katika kupambana na rushwa:https://youtu.be/eor6Jehuz_I
 SIMU.TV:  Zaidi ya kaya 60 mkoani Lindi zimeathiriwa na mvua kubwa iliyoambatana na mafuriko na kusababisha athari katika kaya hizo: https://youtu.be/-UiU7YGagKg
 SIMU.TV:  Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro amezindua kampeni ya upandaji miti wilayani Rombo ili kuepuka uharibifu wa mazingira: https://youtu.be/CQZML8BtnFI
 SIMU.TV:  Wakazi wa Tabata kisiwani wameilalamikia serikali kutokana na ubovu wa barabara ambao umesababishwa na ujenzi wa viwanda:https://youtu.be/Gem44OvGwqk
 SIMU.TV:  Wazazi nchini wameombwa kuwaruhusu watoto wao kushiriki katika mchezo wa tenisi ili kukuza vipaji vyao: https://youtu.be/527a3HxBQ5A


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...