Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Ian Ferrao (wa pili kulia)  akiwa na maofisa wakuu wa kampuni  hiyo wakitembea kuelekea kutoa elimu kwa wateja wao sehemu mbalimbali za la  jijini Dar es Salaam,Kuhusiana na promosheni ya “Ongea Deilee”,ambayo inayowawezesha wateja wa mtandao huo kuongea kwa muda wa saa 2 bure kila siku pindi wakiongea  jumla ya dakika 10 Vodacom kwenda Vodacom.
 Mkurugenzi Mtendaji  wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao   akimkabidhi fulana, Ramadhan Mohamed katika mitaa ya kariakoo wakati wa kutoa elimu kwa wateja mtaani baada mteja huyo kujiunga na Promosheni ya “Ongea Deilee”, Inayowawezesha wateja wa mtandao huo kuongea kwa muda wa saa 1 bure kila siku pindi wakiongea  jumla ya dakika 10 Vodacom kwenda Vodacom. Mteja anatakiwa kujiunga kwa kupiga namba *149*01#.  
 Mwendesha bodaboda eneo la Morocco jijini Dar es Salaam, Abdul Juma akielekezwa na mmoja wa wafanyakazi wa Vodacom  Tanzania,jinsi ya kujiunga na Promosheni mpya ya “Ongea Deilee”, Inayowawezesha wateja wa mtandao huo kuongea kwa muda wa saa 1 bure kila siku pindi wakiongea  jumla ya dakika 10 Vodacom kwenda Vodacom. Mteja anatakiwa kujiunga kwa kupiga namba *149*01#. 
 Mkurugenzi  Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao (kushoto) akimwelekeza mama Enes Kalinga  ambaye ni mfanyabaishara katika soko la Kariakoo jinsi ya kujiunga na Promosheni mpya ya “Ongea Deilee”, Inayowawezesha wateja wa mtandao huo kuongea kwa muda wa saa 1 bure kila siku pindi wakiongea  jumla ya dakika 10 Vodacom kwenda Vodacom,Mteja anatakiwa kujiunga kwa kupiga namba *149*01#. 


 Wafanyabiashara wa nyama katika  soko la Kariakoo jijini Dar es Salaa wakimsikilza Mfanyakazi wa Vodacom Tanzania,Joyce Tarimo  wakati alipokuwa akitoa elimu juu ya Promosheni mpya ya “Ongea Deilee”, Inayowawezesha wateja wa mtandao huo kuongea kwa muda wa saa 1 bure kila siku pindi wakiongea  jumla ya dakika 10 Vodacom kwenda Vodacom. Mteja anatakiwa kujiunga kwa kupiga namba *149*01#.
Askari  wa Usalama barabarani akiwa katika mitaa ya Kongo karibu na kituo cha mabasi Cha Mwananyamala akipewa elimu na Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania walipoingia mtaani kutoa elimu kwa wadau wa mtandao huo,Kuhusiana na  Promosheni mpya ya “Ongea Deilee”, Inayowawezesha wateja wa mtandao huo kuongea kwa muda wa saa 1 bure kila siku pindi wakiongea  jumla ya dakika 10 Vodacom kwenda Vodacom. Mteja anatakiwa kujiunga kwa kupiga namba *149*01#.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...