Shekhe Mkuu wa Tanzania Mufti Abubakar bin Zuberi akizungumza viongozi wakati wa ufunguzi wa semina elekezi ya viongozi wa Bakwata katika ukumbi wa Karimjee leo jijini Dar es Salaam.
Shekhe wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhad Mussa Salum akitoa neno wakati wa kumkaribisha , Shekhe Mkuu wa Tanzania ,Mufti Abbakari Ally Bin Zuberi katika semina elekezi ya viongozi wa Bakwata iliyofanyika katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam.
Sehemu ya viongozi wa Bakwata wakimskiliza Shekhe Mkuu wa Tanzania , Mufti Abbakari Ally Bin Zuberi (hayupo pichani) wakati wa semina elekezi ya viongozi wa Bakwata iliyofanyika katika ukumbi wa Karimjee ,jijini Dar es Salaam.(picha na Emmanuel Massaka, Globu ya Jamii)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...