Hili ni Jambo la kushangaza sana tena ni jambo la Aibu kwa Uchafu kama huu kuwa Pambo mbele ya Ofisi ya Serikali ya Mtaa bila hata jitiada za makusudi kufanyika, Jamani hii si Aibu hii tena bila kuwa na hofu takataka zimejazwa kwenye mifuko katika Ofisi ya kata ya Iyela Jijini Mbeya kama mapambo ya Sherehe, wahusika wa hili kitumbuweni Kijipu hiki kabla hamjatumbuliwa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...