Kameramani wa Globu ya Jamii katika mizunguko yake ya hapa na pale huko Mjini Sumbawanga Mkoani Rukwa alifanikiwa kukunasia baadhi ya Taswira Mbalimbali za Mji wa Sumbawanga kama ambavyo kipita Shoto hicho Pichani ambacho ndio kipita Shoto kinacho utambulisha Mji wa Sumbawanga Kionekanavyo katika Taswira hapo juu.
Baadhi ya wakazi wa Mji wa Sumbawanga wakikata Mitaa huku wakiwa wamebeba Kuku kwa kupokezana.
Hii ni moja ya Barabara iendayo moja kwa moja mpaka Ofisi za Mkoa.
PICHA ZOTE NA MR.PENGO MMG NYANDA ZA JUU KUSINI.
Taswira nzuri, round about maua yamekatwa vizuri, mitaro, lami pana, street lights na bill boards tunaziona endelea kuboresha taswira za miji yetu.
ReplyDeleteSumbawanga nilikua nakusikia tu lakini leo nimepata bahati ya kupaona japo kwa picha. Ni mji mzuri na mazingira mazuri.
ReplyDelete