Jana Julai 23, 2016 Rais Dokta John Magufuli alichaguliwa kwa asilimia 100 kuwa Mwenyekiti mpya wa Taifa wa chama tawala CCM, na mtangulizi wake, Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete, kung'atuka rasmi. Ufuatao ni uchambuzi wa kina kuhusu mabadiliko hayo ya uongozi wa juu kabisa wa chama hicho kikongwe, hasa fursa na changamoto kwa Mwenyekiti mpya Magufuli. Karibuni
Home
Unlabelled
AUDIO: Kwaheri JK, Karibu Magufuli: Uchambuzi wa kina kuhusu uchaguzi wa Mwenyekiti wa CCM (T)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Mzungumzaji yupo kipropaganda zaidi na anachekesha anapoulinganisha uchaguzi wa Theresa wa Uingereza na huu wa CCM!Katiba ya Uingereza ndivyo inavyosema, kwamba endapo Waziri Mkuu atakuwa kuiongoza kabla ya kipindi chake kuisha chama chenye ridhaa ya kuiongoza kitamteua mwanamama wa kuongoza hadi mwisho wa kipindi cha mwisho wa ridhaa hiyo.
ReplyDelete