Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwahutubia wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa shule ya msingi ya Katesh wilayani Hanang, Mkoani Manyara leo.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifanya uzinduzi wa madarasa ya shule ya Msingi ya Mogitu Wilayani Hanang Mkoani Manyara leo, wakati akiendelea na ziara yake ya kikazi mkoa wa Manyara.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wananchi wa Hanang Mkoani Manyara baada ya kuzindua madarasa ya shule ya Msingi ya Mogitu.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na baadhi ya wananchi.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiangalia ngoma ya asili.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...