Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati) akiwasili katika shule ya Heaven of Peace kwa ajili ya kufungua mashindano ya kanda ya tatu ya kuogelea yaliyoshirikisha nchi za Tanzania, Kenya, Uganda, Sudan pamoja na nchi za kanda ya nne ambazo ni  Afrika ya Kusini na Zambia leo jijini Dar es Salaam.
 Waogeleaji kutoka Tanzania wakipita mbele ya mgeni rasmi wakati wa ufunguzi wa mashindano ya kuogelea ya kanda ya tatu yaliyofunguliwa na Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe leo Jijini Dar es Salaam.
 Washiriki wa mashindano ya kuogelea kutoka nchi za Afrika Kusini, Sudan, Uganda, Zambia na Tanzania wakiimba wimbo wa taifa wa Tanzania pembeni ya bwawa la kuongelea wakati wa mashindano ya kuogelea ya kanda ya tatu leo Jijini Dar es Salaam
 Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati) akizungumza wakati wa ufunguzi wa mashindano ya kanda ya tatu ya kuogelea yaliyoshirikisha nchi za Tanzania, Kenya, Uganda, Sudan pamoja na nchi za kanda ya nne ambazo ni South Afrika na Zambia leo jijini Dar es Salaam.
 Baadhi ya washiriki kutoka nchi za Tanzania, Kenya, Uganda, Sudan, Afrika Kusini na Zambia wakichupia majini kushindana wakati wa mashindano ya kuogelea ya kanda ya tatu yaliyofunguliwa leo katika shule ya Heaven of Peace jijini Dar es Salaam
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (watano kushoto) katika picha ya pamoja na viongozi wa kuogelea pamoja na waratibu wa mashindano ya kuogelea ya kanda ya tatu baada ya kufungua mashindano hayo leo jijini Dar es Salaam katika shule ya Heaven of Peace na kushirikisha nchi za Tanzania, Kenya, Uganda, Sudan pamoja na nchi za kanda ya nne ambazo ni  Afrika ya Kusini na Zambia leo jijini Dar es Salaam.
Picha na: Genofeva Matemu - WHUSM

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...