Mgeni rasmi katika Uzinduzi wa Kariakoo family Development Foundation Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi polisi mstaafu Jamal Rwambow akiogea machache na  amekitaka  chama hicho kujali maendeleo ya jamii ya cha hicho kinachowajumuisha wzawa na waliowahi kuishi na wanaoishi eneo lote la Kariakoo jijini Dar es salaam kwa lengo la kushirikiana mambo mbalimbali ya limaendeleo na kijamii.
Mwenyekiti wa kariakoo family development fund mh.mohamed bhinda akizungumza katika uzinduzi huo uliofanyika hivi karibuni katika Ukumbi wa City Lounge jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Kariakoo Family  Development Foundation, Mohamed Bhinda akiwa na Jamal Rwambow (mwenye suti nyeusi) wakikata keki mara baada ya kuzindua  umoja huo.
Wakongwe wa Kariakoo Senpai Yusuf Kivuli (kushoto) na Senpai Waheed  wakiwa katika shoo  ya Goju Ryu Karate  katika uzinduzi wa Kariakoo Family Development Foundation.
 Mkurugenzi wa MMG, Ankal Muhidin Issa Michuzi akilishwa keki katika uzinduzi wa Kariakoo Family Development  Foundation 
Picha ya Pamoja ya Wanakariakoo na Mgeni Rasmi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...